Huyu Ndio Anayeongoza Kwa Kulipwa Pesa Nyingi Youtube, Ana Miaka 9 tu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jarida la Forbes, linamtaja kijana #RyanKaji, mwenye umri wa miaka 9, kuwa ndiye Youtuber (mpandisha maudhui kwenye mtandao wa YouTube) aliyeingiza pesa nyingi zaidi katika mtandao huo kwa mwaka huu 2020.


#Kaji ambaye anaishi Texas, Marekani ameingiza $29.5 Milioni, ambazo ni zaidi ya Bilioni 66 za Kitanzania kwa mwaka huu 2020 kutokana na video mbalimbali anazozipandisha kwenye Chaneli yake inayoitwa "Ryan World" yenye jumla ya Subscribers Milioni 27.6 hadi sasa.


Swipe kuiona Top 10 ya watu walioingiza Pesa nyingi zaidi katika mtandao wa YouTube kwa mwaka 2020.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad