KIGOMA: Kijana aliyefariki miaka 20 iliyopita na kuzikwa akutwa hai (+Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Stewati Edward mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma anayedaiwa kufariki Dunia miaka 20 iliyopita na wazazi wake kufanya mazishi amepatikana akiwa hai.


Edward licha ya kukutwa hai lakini hawezi kuongea kutokana na ncha ya ulimi wake kukatwa.


Stewati Edward alifariki Dunia mwaka 1994 akiwa na umri wa miaka nane (8) pamoja na ndugu zake sita lakini ghafla mama mzazi wa kijana huyo akapata simu iliyomtaarifu kuonekana kwa Edward baada ya miaka 20 kupita.


VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad