KKKT kama TEC, yatoa waraka wa angalizo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Wiki moja baada ya Kanisa Katoliki kutahadharisha, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) nalo limetoa waraka kuwataka waumini wake kujihadhari na ugonjwa wa corona.


KKKT imewakumbusha waumini wake na Watanzania kwa ujumla kuzingatia maelekezo ya kujikinga na mamabukizo ya virusi vipya ambavyo vimeshambulia nchi kadhaa duniani.



Waraka huo umetolewa na mkuu wa kanisa hilo nchini, Askofu Frederick Shoo na kupewa jina la ‘tusimjaribu Mungu kwa kutokuchukua tahadhari’ kwenda kwa maaskofu wa dayosisi zote na wajumbe wa halmashauri kuu ya kanisa hilo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad