Mawaziri watatu Zimbabwe wafa kwa corona ndani ya wiki moja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Waziri wa Usafirishaji wa Zimbabwe,  Joel Biggie Matiza amefariki dunia Ijumaa Januari 19, 2021 katika hospitali ya St. Annes Harare alikokuwa akitibiwa ugonjwa wa Corona.

Matiza anakuwa waziri wa  tatu wa nchi hiyo kufariki dunia kwa ugonjwa huo katika kipindi cha wiki moja.


Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo - Ajira Yako

Wengine waliofariki dunia ni aliyekuwa waziri wa mambo ya nje,  Sibusiso Moyo na aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani, Ellen Gwaradzimba.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad