Anjella apelekwa mjini kwa Kiingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Msanii wa Bongofleva Harmonize, amesherehekea siku ya Valentine kwa kuachia ngoma yake mpya #AllNight aliyomshirikisha msanii chipukizi Anjella.

 

Harmonize ametimiza ahadi yake kwa Anjella kuwa atampeleka mjini, mara tu baada ya kuona clip zake akiimba na kuvutiwa na kipaji chake.


Katika ngoma hiyo Anjella ameimba chorus na lugha iliyotumika kwa kiasi kikubwa ni Kiingereza. Kwa mujibu wa Harmonize, hii ndio single yake ya kwanza official kuitoa kwa mwaka 2021.


Harmonize ameanza na audio na huenda akaachia video ya ngoma hiyo muda si mrefu, kwani tayari alishadokeza kuwa ipo tayari muda mrefu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad