B Gway: Diamond kunitaja na kuisifia ngoma yangu ni sawa na remix tayari (+ Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyewahi kuwa msanii wa @naytrueboytz @bgway_gwayne amefunguka kwa mara ya kwanza sababu iliyomfanya akae kimya kwenye muziki.


Mbali na hilo @bgway_gwayne amemshukuru @diamondplatnumz kwa kuisifia ngoma yake ya MWAKA HUU na kusema kuwa kitendo cha Diamond kumtaja kwenye Interviw yake na kuisifia ngoma yake mpya ya MWAKA HUU na kusema ndio wimbo wake bora ni sawa na Remix tayari.


VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad