Boateng aondolewa katika kikosi cha Bayern, baada ya kufiwa na Ex wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Saa chache baada ya taarifa kutoka mwanamitindo na mpenzi (Kasia Lenhardt) wa zamani wa staa wa FC Bayern Jerome Boateng kuwa amefariki Dunia jana ikiwa ni wiki moja baada ya kuachana, Boateng amejiondoa katika kikosi cha Bayern nchini Qatar.


Boateng ataukosa mchezo wa fainali ya Club Bingwa Dunia kati ya FC Bayern dhidi ya Tigres UANL ya Mexico ambapo utachezwa kesho nchini Qatar.

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Kasia (25) alikutwa amefariki usiku wa Jumanne katika apartment yake Mjini Berlin nchini Ujerumani.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad