De Agosto 2 – 6 Namungo FC Kombe la Shirikisho Afrika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Timu ya Namungo imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa jumla ya magoli 6 – 2 dhidi ya Waangola timu ya De Agosto kwenye mchezo wa kwanza wa Michuano ya Kombe la Shirikisho uliyopigwa leo jijini Dar es Salaam.

Mchezo huo uliyopaswa kupigwa Angola ulivunjiliwa mbali na Shirikisho la soka Afrika CAF, kutokana na baadhi ya wachezaji wa Namungo pamoja na kiongozi mmoja kuarifiwa kuwa na Corona na hivyo kuifanya mechi hiyo kussogezwa mbele na kupigwa Tanzania huku De Agosto wakiwa wenyeji katika mechi ya kwanza. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad