AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya Namungo imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa jumla ya magoli 6 – 2 dhidi ya Waangola timu ya De Agosto kwenye mchezo wa kwanza wa Michuano ya Kombe la Shirikisho uliyopigwa leo jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo uliyopaswa kupigwa Angola ulivunjiliwa mbali na Shirikisho la soka Afrika CAF, kutokana na baadhi ya wachezaji wa Namungo pamoja na kiongozi mmoja kuarifiwa kuwa na Corona na hivyo kuifanya mechi hiyo kussogezwa mbele na kupigwa Tanzania huku De Agosto wakiwa wenyeji katika mechi ya kwanza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK