Gigy Money Amtetea Rayavnny – “Paula Kataka Mwenyewe” -Video

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MSANII wa muziki Bongo Fleva, Gift Stanford maarufu ‘Gigy Money’ usiku wa kuamkia leo akifanya mahojiano na wanahabari amezungumzia lkuhusu sakata la mtoto wa Kajala Paula na Rayvanny.


“Sioni tatizo kwa Rayvanny mwanangu mimi sio chizi, mtoto wa kike ana nguvu yake huwezi kumzuia kufanya, wangapi wana mahusiano na watu walio wazidi umri? Mimi kama mama ningewabariki tu.

VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad