Mbunge Awalaumu TRAFIKI Kugeuza Kitengo Cha Barabarani Kuwa Chanzo Cha Mapato

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge Salome Makamba, mmoja kati ya waliofukuzwa CHADEMA amesema Ajali za Barabarani hasa kwa Madereva wa Pikipiki (bodaboda), zinasababishwa na adhabu kutoka kwa Askari wa Usalama Barabarani


Salome amedai tatizo hilo linatokana na Trafiki kukifanya Kitengo cha Usalama Barabarani kuwa chanzo cha mapato. Asema, baadhi ya bodaboda huwakimbia Askari ili kukwepa faini, hatimaye wengi wao huangukia ajalini


Ameongeza kuwa, “Watu wanakwepa ma-trafiki, wanakimbia sababu ukikamatwa, hakuna onyo ni faini". Kukithiri kwa adhabu za makosa ya barabarani ni dosari zilizopo katika vifungu vya #Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad