AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge Salome Makamba, mmoja kati ya waliofukuzwa CHADEMA amesema Ajali za Barabarani hasa kwa Madereva wa Pikipiki (bodaboda), zinasababishwa na adhabu kutoka kwa Askari wa Usalama Barabarani
Salome amedai tatizo hilo linatokana na Trafiki kukifanya Kitengo cha Usalama Barabarani kuwa chanzo cha mapato. Asema, baadhi ya bodaboda huwakimbia Askari ili kukwepa faini, hatimaye wengi wao huangukia ajalini
Ameongeza kuwa, “Watu wanakwepa ma-trafiki, wanakimbia sababu ukikamatwa, hakuna onyo ni faini". Kukithiri kwa adhabu za makosa ya barabarani ni dosari zilizopo katika vifungu vya #Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK