AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Unaambiwa Ugonjwa wa Corona ndio anasababisha mpaka leo Hamisa Mobeto Hajaolewa , Mwenyewe ameamua kufunguka bila woga kupitia Insta Story yake
Ameandika haya "Yaani Kila Nikitaka kuolewa Corona Hiyooo, Sijui Kwanini?"
Mpaka Sasa haijajulikana ni nani muoaji japo amekuwa akihusishwa kutoka kimapenzi na Mfanya biashara Fred Vunja Bei
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Piga Nyungu wiki hala nawa maji tiririka nunua barakoa vaa. na chupa mbili za covido na Bycaro. Harusi Hiyooo, TUNASHEREHEKEA.
ReplyDeleteHongera Mdada, Mungu akiandika Asumani Hapindui.
Umesha mjulisha shemeji kwa Mwijaku..? Tufanye Fatiha.