Penzi la Harmonize na Kajala lanoga wachorana Tattoo kwenye shingo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Kwenye msimu huu wa makopakopa na malavidavi msanii na boss wa Konde Gang Music, Harmonize na mpenzi wake Kajala Masanja wamenogesha mahaba kwa kuchorana 'Tattoo' zenye herufi ya mwanzo ya majina yao.

Wawili hao wamechora Tattoo hizo kwenye shingo zao ambapo Harmonize ameandika herufi ya jina la Kajala kwa maana ya 'K' na mpenzi wake Kajala  Masanja naye ameandika herufi 'H'.


Kwa sasa penzi la Harmonize na Kajala ndiyo linazungumziwa zaidi kwenye habari za kiburudani na siku ya Valentine walienda Visiwani Zanzibar kula bata, pia msanii Harmonize amemtungia wimbo wa kumsifia mpenzi wake huyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad