AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Wilaya ya Dodoma limewataka wanaofungisha Ndoa za Kiislamu kuhakikisha wana Vyeti halisi vya Ndoa na Leseni Maalumu inayotambuliwa na Baraza hilo
Katibu wa BAKWATA Wilayani humo, Ahmed Msuri amesema kumekuwepo na ufungishaji wa Ndoa za Kiislamu holela zisizo halali ambazo hufanyika mitaani kwa kutumia vyeti bandia ambavyo havitambuliwi na Mamlaka
Hali hiyo imechangia kuwepo kwa migogoro mingi kwenye Ndoa isiyokuwa na tija na mingine imeshindikana hata kutatuliwa kutokana na wengi wao kugundulika kuwa na vyeti feki
Mashehe, Maimamu na Walimu wametakiwa kuwatambua wanaofungisha #Ndoa kama wana vibali halali na wapo kisheria ili kuheshimu Msingi wa Dini ya Kiislamu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK