Harmonize 'Nimeandika Talaka Kwa Sarah'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Harmonize amejibu swali ambalo limekuwa likiulizwa na wengi hasa baada ya kushamiri kwa penzi lake na muigizaji @kajalafrida, ikiwa inafahamika wazi kuwa @harmonize_tz alifunga ndoa ya halali na mrembo mwenye asili ya kizungu @sarah__tz, vipi baada ya kuachana! Talaka alitoa!?

"Sarah ni mtu ambaye nimeishi nae kwa miakq minne kama vijana kuna mengi tumeyapitia kama changamoto ninachoshukuru ni kila mmoja yupo kwenye maisha mengine sasa hivi na ninamuombea Mungu amsaidie, talaka nimeandika" -@Harmonize_Tz • #LeoTena
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad