Albam ya DMX yakamilika siku 48 baada ya kifo chake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Hatimaye albam ya Nyota wa rap, DMX aliyekuwa amepania kurejea kwa nguvu katika muziki kabla ya kifo chake kilichostua, iko tayari kwa ajili ya kuachiwa leo Ijumaa Mei 28, 2021.


Rapa huyo aliyefariki akiwa na miaka 50 alitamba katika miaka ya tisini na mwanzoni mwa milenia hii akiwa na albamu tano zilizoshika nafasi ya juu katika chati za nyimbo baada ya kuzinduliwa.


Kuna hisia za ukombozi katika albamu hiyo yenye nyimbo 13, mada ambayo inagusa hisia baada ya kifo cha msanii huyo.


DMX hajaweza kuona albamu yake mpya ya “EXODUS” ikiingia sokoni ikiwa imetayarishwa na Def Jam Recordings baada ya kufariki Aprili 9 akiwa hospitalini ambako aliwekewa mashine ya kumsaidia kuendelea kuishi kwa karibu wiki moja kufuatia kupata shambulio la moyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad