CDF Mabeyo apongeza uteuzi wa Mkuu wa JKT

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo, amewapongeza Brigedia Jenerali Rajabu Mabele ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Kanali Absolomon Shausi, ambaye ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA-JKT.
Uteuzi huo umefanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ambapo CDF Mabeyo, amewapongeza kwa kuaminiwa katika nyadhifa hizo na kuwatakia heri katika utendaji wao wa kazi.

Brigedia Jenerali Rajabu Mabele, amechukua nafasi ya Meja Jenerali Charles Mbuge, aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa wa Kagera, ambapo hapo awali Brigedia Jenerali Mabele alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa SUMA-JKT


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad