AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NYOTA wanne wa Simba wamebaki Bongo wakati timu hiyo ikikwea pipa kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaotarajiwa kuchezwa Mei 15 dhidi ya Kaizer Chiefs.
Kikosi hicho kiliondoka leo alfajiri kuwafuata wapinzani hao kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Mabingwa Afrika ambapo watapitia Kenya kisha wataunganisha safari yao kuelekea nchini Afrika Kusini.
Kwa mujibu wa Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu ni Perfect Chikwende, Said Ndemla na Miraj Athuman.
“Mwingine ni Morrison ambaye anamalizia taratibu zake, Inshallah Mungu akisaidia atajiunga na sisi kesho. Tunaenda na wachezaji 24, Morrison akijiunga na sisi atakuwa wa 25.”
Usajili wa Chikwende ambaye ni kiungo mshambuliajii aliyekuwa akicheza ndani ya Klabu ya FC Platinum ni maalumu kwa ajili ya mechi za Ligi Kuu Bara.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK