AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na @el_mando_tz @nedymusic amesema kwamba “Muziki wetu tulifika mbali sana wanaanza kuurudisha nyuma tena, kuhusu tambia mbaya kwa wasanii mimi siwalaumu wao tu nalaumu mpaka wanaowahoji watu wapumbavu na kuacha watu wa maana, eti ukiuliza wanasema content”
“Siku hizi ili utambulishe msanii mpya lazima ujipange mmabo mengi, wasanii wanahangaika na viewers tunachekwa tu muziki wetu unashuka, ndio maana mpaka sasa hivi hatupo kweny tuzo kubwa kama zamani, lini uliona msanii kama Burna boy anapost mambo ya trending Youtube ?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK