Nedy Music: Siku hizi ukitaka kutambulisha msanii mpya Tanzania lazima ufanye vitu vingi vya kijinga ndio asikike, vitu vya ajabu kweli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Akiongea na @el_mando_tz @nedymusic amesema kwamba “Muziki wetu tulifika mbali sana wanaanza kuurudisha nyuma tena, kuhusu tambia mbaya kwa wasanii mimi siwalaumu wao tu nalaumu mpaka wanaowahoji watu wapumbavu na kuacha watu wa maana, eti ukiuliza wanasema content”

“Siku hizi ili utambulishe msanii mpya lazima ujipange mmabo mengi, wasanii wanahangaika na viewers tunachekwa tu muziki wetu unashuka, ndio maana mpaka sasa hivi hatupo kweny tuzo kubwa kama zamani, lini uliona msanii kama Burna boy anapost mambo ya trending Youtube ?

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad