AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Madame Rita alimpata mtoto wake wa kwanza akiwa na miaka 14 tu. Ilimlazimu kusubiri binti yake awe mkubwa ndipo arejee shuleni.
Ushauri wake kwa mabinti ni kwamba sio jambo linalopaswa kuwatokea, lakini kwa wale lililowatokea wasione ni mwisho wa maisha, bado wana nafasi ya kupigania ndoto zao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK