Waziri Innocent Bashungwa ampongeza Diamond Platnumz kuingia tuzo za BET

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kupitia ukurasa wake wa Instagram Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa ameandika kupitia ujumbe huu.



“Ushindani wa ndani ni wa afya kwa sanaa yetu kwani unahamasisha ubunifu na kuongeza thamani kwenye kazi za sanaa. Inapotokea ushindani ni baina ya Mtanzania mwenzetu na watu wa nchi nyingine ushindani tunauweka pembeni na kutanguliza uzalendo tukitambua ushindi wa Mtanzania mmoja ni sifa kwa Taifa zima hususani tasnia husika.

Nampongeza @diamondplatnumz kwa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za BET kama msanii pekee toka Afrika Mashariki, naamini ataileta tuzo hii nchini “

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad