AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
AMEANDIKA GIGYMONEY:-
‘’Ivi mshajiuliza kwanini kipofu hana Macho lakini anaona Kinyaaa 😣 Maisha ya insta pia yanachosha kwani Dada Diva mtu akija kwenye kipindi chako uwezi kumuliza ata kama anajua umri wako sipendi unavyofanya jina langu as mm nagombana Na Hao madem Yani sio fresh kama inakupa airtime kwasababu ba mtoto wangu pia anakipindi cha usiku izo ni biashara Zenu Dada diva acha kuwauliza watu kuhusu mimi wa trend SIPENDI DIVA
I GO THROUGH MY HARD TIMES ALONE SO LEAVE ME ALONE nakueshim sana Na Nna maisha yakutegemewa huu muda mnaotaja jina langu ovyo mnampa mwanangu shida yakuelewa kila siku mama ake midomoni sitaki nyie ni wakubwa sana kiumri acheni Drama zakiZamani usipereke kipindi kama jumba la michambo nakudharilishana sitaki kama kosa nikutokuja kwenye kipindi chako siku ile basi sitaki kugombana mimi mkubwa saivi sipendi Dada Angu sio vizuri kila nikiamka nakuta wewe Na baadhi ya watu mnaniongelea afu sio vizuri, vibaya kwani hap watu wanataka kuniongelea hawana mema niliyo wahi kuwafanyia 😣 Eti this is my interview sitaki nyie WAMAMA WAKUBWA SASA JAPO HAMJAZAAAA.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK