"Miss Tanzania sio Mjamzito" - Deo Kithama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mdau Miss Tanzania, MC mara tatu wa mashindano hayo na Mtangazaji wa kipindi cha Nirvana ya East Africa TV Deo amefunguka kuhusu sakata linaolendelea la Miss Tanzania Rose Manfere kuvuliwa taji la kutokwenda kuwakilisha mashindano ya Miss World.

"Ukiwa Miss Tanzania kuna vitu unatakiwa kufanya vingine hutakiwi kwa mfano image yako kwenye jamii lazima iwe chanya vingine ni nidhamu na maadili, kama taasisi haijatoa tamko lolote ila leo mchana watataoa tamko"

"Miss Tanzania hajavuliwa taji ila taarifa iliyopo hatawakilisha mashindano ya Miss World, pia sio mjamzito labda ni masuala ya mkataba ndio taarifa nilizo nazo, ukiwa mrembo hutakiwi kuwa mjamzito au kuolewa ukiwa na taji".

Nafasi za Ajira Serikalini Bonyeza HAPA

Nafasi za Scholarships Bonyeza HAPA

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad