AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwaka unaisha vibaya kwa Rapa Dababy Baada Ya kuondolewa Kwenye Matamasha sita(6) makubwa kufuatia Kauli aliyoitoa kwenye tamasha la ROLLING LOUD ambalo lilifanyika July 25 kwenye mji wa MIAMI,kauli hiyo ambayo Iliyotafsiriwa Kuwa Ya kibaguzi.
Dababy amedai ameamua kuachana na Rap baada ya kupost kwenye instastory yake akiimba kionjo cha wimbo RnB akiwa na binti yake na kuandika
“They Done Cancelled Your Daddy Twin I’M switching To Rnb” Akimanisha Wamekamilisha kunitoa baba yako pacha,naamia kwenye RnB.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK