Irene Paul "Yule Mtu Mweupe Alinifanya Nipende Mpira, It's about time nguvu yako Ijulikane"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Irene Paul ameandika haya:


"Kaka yangu @hajismanara......

Mimi ni kati ya wale ambao nilipenda mpira kwa sababu yako,yani your personality na jinsi ulivyofanya kazi yako katika sehemu uliyokuwa ndiyo ilinifanya niipende timu👌👌

PASSION:Ulisimamia ulichokifanya kwa mapenzi yote,na ulifanikiwa kutengeneza mvuto kwenye mpira kwa baadhi nikiwemo mimi hasa kwa timu uliyokuwa.

Ninaamini katika KUHESHIMU INFLUENCE ya mtu katika kitu,niseme tu hiyo pia ni talanta ambayo sio kila mtu anayo....ITS GOD GIVEN!!!!! It's about time nguvu yako ambayo ni "PRICELESS" ionekane,ijulikane na IHESHIMIWE maana pesa sio kila kitu.

#youmoveWEmove💪💪💪💪 "
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad