Majizzo Afunguka Haya Baada ya Kumnyakua Maulid Kitenge Kutoka Wasafi FM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Tarehe 18 Octoba 2019, nilipost hapa ‘instagram’ kumuaga ndugu #MaulidKitenge ikiwa ni baada ya kukaa naye kwa takriban miaka 5.
Mimi na yeye tuliagana vizuri, tulitakiana heri. Tuliachana kwa wema. Kwangu maisha yanapaswa kuwa hivyo.

Baada kukamilisha yaliyompeleka kule #KochaMchezaji Maulid Kitenge, anarudi tena hapa ambapo bila shaka ni nyumbani kwake. Yeye ni kati ya watangazaji wa mwanzo hapa EFM, ni furaha kubwa sana kumkaribisha tena tufurahie pamoja hatua tulizofikia na kuendeleza mapambano zaidi"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad