Msitupangie Muda wa Kumpost Mtoto Wetu..Zaeni na wenu Mumposti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Dada wa msanii Diamond Platnumz, Esma amemtolea uvivu mtu aliyetoa maoni kwenye post yake ambayo kamtakia kheri ya siku ya kuzaliwa @dylandeetz mtoto wa kaka yake na Hamisa Mobetto kwa kile kinachoendelea kwa familia hiyo kuchelewa kumpost mtoto huyo ukilinganisha na ilivyokuwa kwa Tiffah.

Mtoa maoni kawaambia waache ubaguzi na unafiki maana birthday ya mtoto ni siku nzima lakini wao wameanza kumpost usiku huku mdau akisisitiza hata Dylan afanyiwe Party kama ilivyokuwa kwa Tiffah.

Esma amemtaka mdau kuacha kupangia familia za watu muda wa kupost mtoto wao,kama vipi na yeye azae wa kwake.

Waja wa Insta wameucheza mwingi sana hii leo lasivyo yangetokea kama yaliyotokea kwa NASEEB JUNIOR


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad