Mwanamke mmoja amshutumu R.Kelly kuwa alimlazimisha kutoa mimba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mlalamikaji wa pili alisimama katika kesi ya unyanyasaji wa kijinsia ya R. Kelly Jumatatu, akishuhudia kwamba nyota huyo alimnyanyasa, akimwambukiza malengelenge na akamwamuru atoe mimba.

Mwanamke huyo, aliyejulikana kama Jane Doe No 5, alisema uhusiano wake wa miaka mitano na Bwana Kelly ulianza mnamo mwaka 2014, akiwa na miaka 17.

Alidai kuwa mwimbaji huyo alikuwa akitafuta kuyadhibiti maisha yake na alikuwa akimuadhibu alipokuwa hatii.

Bw.Kelly mwenye miaka 54 amekana shutuma dhidi yake.

Mawakili wake wamewaelezea washtaki kama vikundi vya kulipiza kisasi baada ya uhusiano wao na mwimbaji wa R&B kufa.

 

OPEN IN BROWSER
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad