AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alikiba alipata hamasa ya kuingia kwenye Bongofleva baada ya kuwaona Mr. Blue na Abby Skills wakitamba mwanzoni mwa miaka 2000s na baadaye walimsaidia pia ingawa Mr. Blue alimueka wazi mapema kuwa muziki sio masihara
“Nilipokuwa nikiwaangalia huku nikiwa tayari nina kauntabuku nyumbani limejaa mashairi na kati ya yake ulikuwamo wimbo wa Maria ambao niliwaandikia ili wauimbe (Mr Blue na Abby Skills)"
“Baada ya kuusikiliza, Blue alitaka na mimi niwe mmoja wa waimbaji katika wimbo huo na hapo ndio ukawa mwanzo wangu wa kutoboa mpaka mnavyoniona hii leo,” alisema Alikiba
Ikumbukwe Diamond pia alishasema alikuwa inspired na Mr. Blue alipomuona akifanya vizuri kwenye Bongo fleva akiwa na umri mdogo Mr. Blue, Diamond na Alikiba kiumri ni kama wapo rika moja Tu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK