Diamond Platnumz Ametajwa Katika vipengele 7 Akifuatiwa na Rosa Ree Vipengele 3 Tuzo za Afrima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Msanii wa Tanzania , Diamond Platnumz ametajwa vipengele vingi katika tuzo za Afrima zitazofanyika Novemba mwaka huu nchini Nigeria.
Orodha ya wateule wa tuzo hizo imeanikwa jana Jumatano Septemba 22,2021, ambapo wasanii wengi kutoka Tanzania wakiingia katika vipengele 13, huku Diamond akijitokeza kwenye vipengele vingi zaidi ya wengine Akifuatiwa na Rosa Ree Vipengele Vitatu

Kwa upande wa Diamond wimbo wa Waah! ndio umembeba, kwani licha ya kumuingiza katika vipengele vinne pia umetajwa katika vipengele saba vikiwemo wimbo bora wa mwaka, video bora ya mwaka, wimbo unaochezeka na wimbo bora wa kushirikiana.

Pia Waah! Umeingia katika vipengele vya msanii bora wa mwaka na msanii bora wa kiume Afrika Mashariki.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad