IGP Sirro "Tutapita Madrasa na Sunday Schools Kukagua Yanayofundishwa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro amesema watakuwa wakipita katika Nyumba za Ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika Madrasa na Shule za Jumapili (Sunday Schools)

IGP Sirro ameongeza kuwa hatua hiyo ni kutaka kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa maeneo hayo, jambo ambalo amejifunza Rwanda alipokwenda kwa ziara ya siku nne

Amesema watawashirikisha Viongozi wa Dini na Timu ya Kupambana na Makosa ya Kigaidi kuona namna ya kupitia mafunzo hayo kuona kama yanawajenga au yanawabomoa


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad