Lemutuz Amchana "Mo Dewji Amefanya Wrong Timming"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


LE SUPERBRAND! ZE AKILI ZANGU ZA MCHANA LIVE!: Pamoja na kwamba nipo mapumzikoni FIVE STAR HOTEL kwa sababu ya AFYA YANGU lakini nimuhimu niseme something kuhusu hii Ishu ya leo ....kwa lugha ya Kizungu STRATEGICALLY inaitwa ....'WRONG TIMMING" ...Simba Lunyasi ndio kwanza tunaanza Kampeni ya Ligi na WIKI NZIMA SASA MATOKEO HAYAPO SAWA .....Tumepigwa na Yanga na jana tumetoka sare na timu ndogo sana kule Musoma and then leo haya .. ...WRONG TIMMING inavunja MORALE Wachezaji na hataqa Mashabiki ...KWA NINI ILIBIDI WASUBIRI MAMBO YAENDE SIVYO NDIO WATANGAZE HAYA YA MO KUONDOKA? ....DALILI ZA MVUA NI MAWINGU inaonekana kuna tatizo ambalo halisemwi na MFICHA MARADHI HUFICHULIWA NA KIFO ....ninarudia tena kwamba it was WRONG TIMMING! - @lemutuz_superbrand
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad