Wanaigeria Waendelea Kushika Dunia.. Wizkid Auza Tiketi Elfu 20 Ndani ya Dakika 2 London, Uwanja wa 02 Arena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Ukisikia kigugumizi cha uandishi ndicho kilichompata msanii @wizkidayo baada ya kumchukua dakika 3 hasijue aandike nini kwa hii love ya mashabiki baada ya tarehe zote za show zake za MADE IN LAGOS TOUR pale The 02 Arena nchini Uingereza zinazotarajiwa kufanyika 28th & 29 November na 1st December mwaka huu, tiketi zake kumalizika ndani ya muda mfupi baada ya kutangazwa.

Ukumbuke ukumbi huo wenye hadhi ya juu nchini uingereza unaingiza watu elfu 20 pekee.

🔹28th November tiketi zilimalizika ndani ya dakika 12

🔹29th November tiketi zimemalizika ndani ya dakika 2

🔹1st Dec,tarehe iliyoongezwa sababu ya uhitaji,tiketi zimemalizika ndani ya dakika 35.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad