Zacharia Hans Poppe kuzikwa leo Iringa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MWILI wa aliyekuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Zacharia Hans Poppe umeagwa jana mchana na familia yake, nyumbani kwake Ununio, Dar kabla ya kuusafirisha kuelekea mkoani Iringa kwa ajili ya mazishi leo Jumatano.
Familia ilipata fursa ya kuuaga mwili wa mpendwa wao nyumbani wakiwemo wachezaji wa Simba B na Simba Queen kabla ya kuanza safari kuelekea mkoani Iringa kwa ajili ya kuupumzisha mwili kwenye makazi ya milele.

Tayari mwili wake umepokelewa Iringa ikiwa na kwa sasa inafanyika ibada ya mwisho kwa ajili ya kuuaga kwa wakazi wa Iringa pamoja na ndugu na jamaa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad