Wizkid Awakanyaga Vibaya Davido na Burnaboy Afrima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wizkid ndiye Muimbaji kutoka nigeria ambaye amepata Nominations nyingi zaidi katika tuzo za Afrimma. Wizkid ana nomination sita, baadhi ya hizo ni "Artist of the year in Africa", "Best male artist in western africa" na "Album of the year"

Omah Lay, patoranking na Davido kila mmoja wapo amepata nomination nne.

Burnaboy, Tems, Olakira, Vector, TiwaSavage na Bella Shmurda, kila mmoja wapo amepata nomination tatu.

Yemi alade, ladipoe, The Isomers na Cavemen, Nomination Mbili.

Zoezi la Upigaji kura Online litaanza Hivi karibuni.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad