AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshambuliaji wa Manchester United, Cristiano Ronaldo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza (EPL) kwa mwezi Septemba.
Mwezi Septemba, Ronaldo amefunga mabao matatu, katika michezo miwili, alifunga mabao mawili katika mchezo wake wa kwanza dhidi ya Newcastle, na bao moja dhidi ya Westham. Man United ilishinda michezo hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK