Polepole amjibu Spika Ndugai Baada ya Kupanguliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Masaa kadhaa baada ya kusambaa kwa barua ya Spika wa Bunge ikitaja Mabadiliko madogo ya Kamati za kudumu za Bunge, Mbunge wa Kuteuliwa Humphrey Polepole kupitia ukurasa wake wa Instagram amemjibu Kiongozi huyo.

Katika maelezo yake Polepole amesema ameyapokea kwa furaha na shauku kwa kuwa yanamuanzishia safari nyingine ya Shule ya uongozi na mafunzo kwa Vitendo.

Amesema baada ya miezi 9 ya kuhudumu katika dhamana ya uenyekiti wa kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa na sasa kuwa mjumbe katika Kamati ya Sheria Ndogo anaendelea kulituikia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali kwa ujumla.

Katika mitandao yake ya kijamii mwanachama huyo wa Chama Cha Mapinduzi huweka mada mbalimbali zenye Jina la Shule ya uongozi akiwa na nia ya kuwaelimisha jamii juu ya uongozi kwa ngazi tofauti.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HELLO GET OUT OF FINANCIAL MESS WITH THE HELP OF drbenjaminfinance@gmail.com

    I have been in financial mess for the past months, I’m a single mum with kids to look after. My name is REBECCA MICHAELSON, and am from Ridley Park, Pennsylvania. A couple of weeks ago My friend visited me and along our discussion she told me about DR BENJAMIN OWEN FINANCE of drbenjaminfinance@gmail.com that he can help me out of my financial situation, I never believed cause I have spend so much money on different loan lenders who did nothing other than running away with my money. She advised, I gave it a try because she and some of her colleagues were rescued too by this Godsent lender with loans to revive their dying businesses and paying off bills. so I mailed him and explain all about my financial situation and therefore took me through the loan process which was very brief and easy. After that my loan application worth $278,000.00USD was granted, all i did was to follow the processing and be cooperative and today I am a proud business owner sharing the testimony of God-sent Lender. You can as well reach him through the Company Email drbenjaminfinance@gmail.com

    THANK YOU VERY MUCH

    ReplyDelete

Top Post Ad