Siri ya Uzuri wa Zari Hassan Yagunduliwa..Kumbe Nusu Mhindi, Nusu Msomali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MWANAMAMA Zari The Boss Lady amefichua jambo ambalo wengi hawalijui kuwa, yeye ni mchanganyiko wa nusu Mhindi na nusu ni Msomali.

Zari ambaye ni raia wa Uganda amekuwa mgumu mno kuzungumzia asili ya wazazi wake. Mara chache aliwahi kuposti picha za mama yake, lakini hakuwahi kumuelezea kiundani.

Wengi wanamfahamu Zari kama mwanamke tajiri anayeishi nchini Afrika Kusini na ni mzazi mwenza wa mwanamuziki wa Tanzania, Diamond Platnumz, lakini ukweli ni kwamba ana simulizi nyingi kuhusu maisha yake hadi hapo alipo.

Lakini hivi karibuni alifungua macho wafuasi wake zaidi ya milioni 9 kwenye Instagram baada ya kuwatonya kuwa, wazazi wake ni mchanganyiko wa Wahindi, watu wa Burundi na mchanganyiko wa Uganda na Somalia.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HELLO GET OUT OF FINANCIAL MESS WITH THE HELP OF drbenjaminfinance@gmail.com

    I have been in financial mess for the past months, I’m a single mum with kids to look after. My name is REBECCA MICHAELSON, and am from Ridley Park, Pennsylvania. A couple of weeks ago My friend visited me and along our discussion she told me about DR BENJAMIN OWEN FINANCE of drbenjaminfinance@gmail.com that he can help me out of my financial situation, I never believed cause I have spend so much money on different loan lenders who did nothing other than running away with my money. She advised, I gave it a try because she and some of her colleagues were rescued too by this Godsent lender with loans to revive their dying businesses and paying off bills. so I mailed him and explain all about my financial situation and therefore took me through the loan process which was very brief and easy. After that my loan application worth $278,000.00USD was granted, all i did was to follow the processing and be cooperative and today I am a proud business owner sharing the testimony of God-sent Lender. You can as well reach him through the Company Email drbenjaminfinance@gmail.com

    THANK YOU VERY MUCH

    ReplyDelete

Top Post Ad