Zamaradi Mketema Afunguka Wimbi la Wasanii Kujenga Mijengo Kigamboni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aunty Ezekiel ashusha mjengo wake Kigamboni, Dar. Zamaradi Mketema aliweka post akisema ameipenda Kigamboni kuhusiana na ujenzi na makazi. Kisha baadaye kurudi na post nyingine ambayo miongoni mwa aliyogusia ni baadhi ya watu maarufu waliojenga huko akiwemo Aunty Ezekiel, kina Joti etc

"Huenda ndio sababu Kaka zetu wa Ze Comedy enzi hizo waliwahi kuona hiyo fursa mapema na kujenga huko, walikuwa wajanja sana wale 😄, watu kama kina Joti na Mpoki!!, japo kwasasa wameongezeka, katika watu ninaowajua wengine mtu kama Dahuubamejenga Kigamboni, Aunty Ezekiel amejenga Kigamboni, Kaka Yangu Mrisho Mpoto amejenga Kigamboni

Hao ni wale mashuhuri tu lakini kuna wengi ambao hawako kwenye Circle ya Wasanii na ni watu wazito ambao wamejenga Kigamboni, mwanzo sikuelewa sababu, ila baada ya pitapita nimeelewa sababu" ameandika Zamaradi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad