Mke wa Aristote "Mume Wangu Kuwa Chawa sio Tatizo ili Mradi Alete Hela Nyumbani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mke wa @aristotee , Emmy amedai mumewe kuwa chawa kwake anaona ni jambo zuri tu maana kila akitoka kwenye uchawa na mastaa kama Diamond,Irene Uwoya na Freddy VunjaBei lazima arudi nyumbani na mtonyo mzuri tu, hivyo kwake anaona ni kazi nzuri.

Haya ameyasema akiwa ndani ya Big Sunday Live ya Wasafi TV.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad