Rais wa Afrika Kusini atangaza maombolezo ya siku nne kwa De Klerk

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Afrika Kusini imetangaza siku nne za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha rais wa mwisho mzungu FW de Klerk Alhamisi.


Maombolezo ya kitaifa yanaanza Jumatano jioni hadi Jumapili jioni na "bendera ya taifa itapeperushwa nusu mlingoti kama ishara ya heshima," ofisi ya rais ilisema.



De Klerk alifariki Alhamisi wiki iliyopita akiwa na miaka 85 baada ya kupatikana na saratini mapema mwaka huu



Achomwa siku ya Jumapili katika mazishi ya faragha itakayohudhuriwa na na jamaa zake pekee.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad