AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutana na mwanamama aitwaye Valeria Levitin (39) tokea nchini Hispania ambaye inaaminika kuwa ndiye mwanadamu mwembamba kuliko wote ulimwenguni
Valeria ambae ameingia katika kitabu Cha Rekodi za Dunia ,anaeonekana Kama 'skeleton' na ana Uzito wa Kilogram 27 tu, huku asilimia kubwa ya mwili wake ukiwa ni mifupa.
Sababu iliyopelekea Valerie kufikia rekodi hii, ni tabia yake ya kutopenda kula kabisa toka akiwa na umri miaka 19. Kitaalamu tabia hii inaitwa 'Anorexia' , ambapo inaanza taratibu Kwa mtu kupenda diet iliyopitiliza na kujikuta hana mapenzi na Chakula kabisa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK