Habari Kama Hizi Zinapatikana UDAKU SPECIAL App, Download HAPA Bure: Link here>>>
Drake amekuwa akitafuta njia nyingine ya kuongeza kipato chake, na sasa ameamua Ku-bet. Juzi alipigwa na kitu kizito kichwani mara baada ya kuliwa zaidi ya TSh. MILIONI 645 kwenye pambano la UFC ambapo alimpa ushindi Masvidal ambaye alipigwa na Colby Covington.
Baada ya pambano hilo, Colby Covington alimtolea povu Drizzy kwa kumwambia aachane na haya mambo na arudi kuuza album zake za kipuuzi.
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE
________________________________
Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE
0 Comments