Kauli ya Kwanza ya Freeman Mbowe Akitoka Gerezani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amewaambia waandishi wa habari waliomfuata kutoka gerezani hadi nyumbani kwake kuwa sasa ni wakati wa kunyamaza, lakini atakuja kuzungumza na viongozi na baadaye vyombo vya habari.

Mbowe aliyekuwa akinukuu maandiko ya Biblia, amewashukuru watu waliomwombea tangu alipokamatwa Julai 2021 na hatimate kesi yake imefutwa leo Machi 4, 2022.


“Kitabu cha biblia cha Mhubiri mlango wa tatu kinasema, kila jambo lina wakati wake chini ya mbingu; kuna wakati wa kusema na kuna wakati wa kunyamaza. Leo niruhusini ninyamaze lakini nitazungumza na viongozi wangu wa chama tutapanga wakati mzuri wa kuznugumza na waandishi wa habari asanteni kwa sala zenu,” amesema Mbowe.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad