Habari Kama Hizi Zinapatikana UDAKU SPECIAL App, Download HAPA Bure: Link here>>>
Msemaji wa wanamuziki wote nchini @stevenyerere2 kuoitia ukurasa wake wa Instagram ameamua kutua neno kuhusu kukosekana kwa wasanii Kutoka @wcb_wasafi katika tuzo za TMA mwaka huu.
Steve ambae ni mteule mpya katika nafasi ya usemaji , ameShauri baraza la sanaa Tanzania BASATA na viongozi wa shirikisho la muziki nchini ku kakaa na kutafakari kuhusu kukosekana kwa baadhi ya wasanii hao, huku akitaka pande zote mbili kukutana ili kujadili na kuweka mambo sawa.
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE
________________________________
Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE
0 Comments