Rais wa Ukraine atoa wito wa kufanya mazungumzo na Putin

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema njia ya ya kumaliza vita mara moja nchini Ukraine ni kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Rais Vladimir Putin.

"Hatutaki kuishambulia Urusi na hatupangi kushambulia. Mnataka nini kutoka kwetu? Tokeni kwenye ardhi yetu, ”alisema rais wa Ukraine.

Aliongeza kuwa, akielezea umuhimu wa kufanya mazungumzo mwezi uliopia:

"Njoni tuketi Pamoja. Msiketi umbali wa mita 30, kama alivyofanya wakati rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alipokutana na Putin."

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad