AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baraza la Sanaa la Taifa BASATA limetangaza wasanii wa muziki ambao wanakwenda kushiriki katika vipengele mbalimbali vya tuzo za muziki Tanzania.
Wasanii kutoka lebo ya WCB @wcb_wasafi hawajatokea kabisa kwenye orodha hiyo huku Marioo, Rosa Ree, Alikiba, Prof. Jay na Harmonize wakitokea kwenye vipengele vingi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK