AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moto mkubwa umezuka kwenye shimo la kuhifadhi mafuta machafu lililopo eneo la Mbuyuni, Kigamboni Jijini Dar es Salaam na kuteketeza shimo hilo na kisha moto huo kusambaza na kuteketeza magari ya mafuta yaliyokuwa yameegeshwa eneo hilo.
Taarifa zinaeleza kuwa hadi sasa magari manne ya Jeshi la ZIMAMOTO yamefika na kujitahidi kuzima moto huo bila mafanikio.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK