Nyoka Wamuua Bosi wake, Alikuwa Amewafuga Nyumbani Kwakei

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Maafisa wa Maryland wamesema bwana mmoja amekutwa amekufa nyumbani, kwake Kaunti ya Charles ambae anafuga nyoka zaidi 100 akiwemo aina ya vifutu na koboko.


Wachunguzi wameviambia vyombo vya habari kifo cha bwana huyo mwenye umri wa miaka 49 kimetokana na kung’atwa na nyoka kwa bahati mbaya.

Mamlaka ya eneo hilo inasema mwili wake ulikutwa huku kukiwa na nyoka 124 nyumbani kwake wakiwemo wenye sumu kali na kusababisha zoezi la kuuokoa mwili wake kuchukua masaa kadhaa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad