AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bilionea Mohammed Gulamabbas Dewji “Mo” kutokea hapa nchini ametunukiwa shahada ya Udaktari wa Heshima ya Uzamivu na Shule ya Biashara ya McDonough katika Chuo Kikuu cha Georgetown Jijini Washington Marekani.
Mo ametunukiwa Taji hilo la heshima siku ya jana (Mei, 20) na Rais wa Chuo hicho John DeGioia katika kutambua mchango wa Kampuni za MeTL katika kuleta maendeleo katika jamii nchini Tanzania.
Mo ameshawahi kusoma katika Chuo hicho na alihitimu mwaka 1998.
Toa neno la pongezi kwa Bilionea huyo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nice
ReplyDeleteNice
ReplyDelete