Bob Junior afunguka mahaba yake kwa Wema Sepetu

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

 


Sharobaro President Bob Junior ameweka wazi kwamba msanii wa filamu Wema Sepetu ni mwanamke wake na huenda akamtolea posa kumuoa. 

Akimzungumzia Wema Sepetu kupitia na Planet Bongo ya East Africa Radio Bob Junior amesema 

"Ni mwanamke wangu na mke wangu kabisa msitake kujua vitu vingi, mapenzi yetu si vyema kuyazungumzia sana ila wafaham ni mwanamke wangu pengine nitamposa".

Wawili hao wame-make headlines mitandaoni baada ya Bob Junior kupost video akiwa anam-kiss Wema Sepetu.

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad